WAZIRI JAFO ASHIRIKI ZOEZI LA USAFI WA MWISHO WA MWEZI SOKO LA BONANZA JIJINI DODOMA
Na Barnabas Kisengi, Dodoma. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dkt. Selemani Jafo Julai 30,2022 ameshiriki katika zoezi la usafi wa mwisho wa mwezi katika Soko la Bonanza Jijini Dodoma. Akiwa sokoni hapo amezungumza na wafanyabiashara na kutoa rai kwao kudumisha kwa vitendo kampeni ya usafi na mazingira kwa ujumla.“Ndugu
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed